Luke 14:30 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
wakisema: ‘Mtu huyu alianza kujenga, lakini hakumalizia.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
wakisema, ‘Mtu huyu alianza kujenga lakini hakuweza kukamilisha.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
wakisema, Mtu huyu alianza kujenga, akawa hana nguvu za kumaliza.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Watasema, ‘Mtu huyu alianza kujenga, lakini alishindwa kumalizia.’
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
wakisema: Mtu huyu alianza kujenga, lakini hakumalizia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
wakisema: ‘Mtu huyu alianza kujenga, lakini hakumalizia.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
wakisema, ‘Mtu huyu alianza kujenga lakini hakuweza kukamilisha.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
wakisema, ‘Mtu huyu alianza kujenga lakini hakuweza kukamilisha.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
wakisema, Mtu huyu alianza kujenga, akawa hana nguvu za kumaliza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
wakisema: ‘Mtu huyu alianza kujenga, lakini hakumalizia.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wakisema: Mtu huyu alianza kujenga, naye hakuweza kumaliza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wakisema, Mtu huyu alianza kujenga, akawa hana nguvu za kumaliza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
wakisema: ‘Mutu huyu alianza kujenga, lakini hakuweza kumaliza!’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Mtu huyu alianza kujenga, akawa hana nguvu za kumaliza.