Luke 14:6 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nao hawakuweza kumjibu swali hilo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nao hawakuwa na la kusema.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao hawakuweza kujibu maneno haya.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mafarisayo na wanasheria hawakuweza kujibu kinyume na alivyosema.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Nao hawakuweza kumjibu swali hilo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nao hawakuweza kumjibu swali hilo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nao hawakuwa na la kusema.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nao hawakuwa na la kusema.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao hawakuweza kujibu maneno haya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nao hawakuweza kumjibu swali hilo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao hawakuweza kumjibu haya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao hawakuweza kujibu maneno haya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao hawakuweza kumujibu neno.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nao hawakuweza kumjibu kwa haya.