Luke 15:1 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Siku moja, watozaushuru na wenye dhambi wengi walikwenda kumsikiliza Yesu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi watoza ushuru na wenye dhambi wote walikuwa wanakusanyika ili wapate kumsikiliza Isa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi watoza ushuru wote na wenye dhambi walikuwa wakimkaribia wamsikilize.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Watoza ushuru na wenye dhambi wengi waliendelea kuja kumsikiliza Yesu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Siku moja, watoza ushuru na wahalifu wengi walikwenda kumsikiliza Yesu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Siku moja, watozaushuru na wenye dhambi wengi walikwenda kumsikiliza Yesu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi watoza ushuru na wenye dhambi wote walikuwa wanakusanyika ili wapate kumsikiliza Yesu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi watoza ushuru na wenye dhambi wote walikuwa wanakusanyika ili wapate kumsikiliza Isa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi watoza ushuru wote na wenye dhambi walikuwa wakimkaribia wamsikilize.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Siku moja, watozaushuru na wenye dhambi wengi walikwenda kumsikiliza Yesu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Watoza kodi na wakosaji wo wote walipokuwa wanamjia, wamsikilize,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi watoza ushuru wote na wenye dhambi walikuwa wakimkaribia wamsikilize.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Siku moja walipishaji wa kodi na watenda mabaya wengi walikusanyika karibu na Yesu kwa kumusikiliza.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
BASSI watoza ushuru wote na wenye dhambi walikuwa wakimkaribia kumsikiliza.