Luke 15:19 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sistahili tena kuitwa mwanao; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
sistahili kuitwa mwana wako tena; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Sistahili kuitwa mwanao tena. Lakini niruhusu niwe kama mmoja wa wafanyakazi wako.’
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sistahili tena kuitwa mwanao, nifanye kama mmoja wa watumishi wako.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sistahili tena kuitwa mwanao; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
sistahili kuitwa mwana wako tena; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
hainipasi tena kuitwa mwana wako, unitumikishe kuwa kama kibarua wako!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
sistahili kuitwa mwana wako tena; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sababu hii sistahili kuhesabiwa tena sawa vile mwana wako; unihesabu sawa vile mumoja wa watumishi wako.’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
unifanye kuwa kama mmojawapo wa watumishi wako.