Luke 15:28 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huyo kijana mkubwa akawaka hasira hata akakataa kuingia nyumbani. Baba yake akatoka nje na kumsihi aingie.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Yule mwana mkubwa akakasirika, akakataa kuingia ndani. Basi baba yake akatoka nje na kumsihi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akakasirika, akakataa kuingia ndani. Basi babaye alitoka nje, akamsihi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mwana mkubwa alikasirika na hakutaka kwenda kwenye sherehe. Hivyo baba yake akatoka nje kumsihi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Huyo kijana mkubwa akawaka hasira hata akakataa kuingia nyumbani. Baba yake akatoka nje na kumsihi aingie.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huyo kijana mkubwa akawaka hasira hata akakataa kuingia nyumbani. Baba yake akatoka nje na kumsihi aingie.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Yule mwana mkubwa akakasirika, akakataa kuingia ndani. Basi baba yake akatoka nje na kumbembeleza.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Yule mwana mkubwa akakasirika, akakataa kuingia ndani. Basi baba yake akatoka nje na kumsihi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akakasirika, akakataa kuingia ndani. Basi babaye alitoka nje, akamsihi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huyo kijana mkubwa akawaka hasira hata akakataa kuingia nyumbani. Baba yake akatoka nje na kumsihi aingie.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akakasirika sana, hakutaka kuingia. Lakini baba yake alipotoka na kumbembeleza,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akakasirika, akakataa kuingia ndani. Basi babaye alitoka nje, akamsihi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ndugu huyu mukubwa akakasirika na kukataa kuingia ndani ya nyumba. Basi baba yake akatoka inje na kumusihi aingie.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akakasirika wala hakutaka kuingia: bassi, baba yake akatoka akamsihi.