Luke 17:13 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakapaza sauti wakisema, “Yesu Mwalimu, tuonee huruma!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
wakapaza sauti, wakasema, “Isa, Bwana, tuhurumie!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
wakapaza sauti wakisema, Ee Yesu, Bwana mkubwa, uturehemu!
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini watu wale wakaita kwa kupaza sauti wakisema, “Yesu! Mkuu! Tafadhali utusaidie!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wakapaza sauti wakisema, “Yesu Mwalimu, tuonee huruma!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakapaza sauti wakisema, “Yesu Mwalimu, tuonee huruma!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
wakapaza sauti, wakasema, “Yesu, Bwana, tuhurumie!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
wakapaza sauti, wakasema, “Isa, Bwana, tuhurumie!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
wakapaza sauti wakisema, Ee Yesu, Bwana mkubwa, uturehemu!
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakapaza sauti wakisema, “Yesu Mwalimu, tuonee huruma!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wakapaza sauti wakisema: Bwana Yesu, tuhurumie!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wakapaza sauti wakisema, Ee Yesu, Bwana mkubwa, uturehemu!
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
wakilalamika, wakisema: “Yesu Bwana utusikilie huruma!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
nao wakapaaza sauti zao wakisema, Yesu, Bwana, uturehemu.