Luke 17:16 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Akajitupa chini mbele ya miguu ya Yesu huku akimshukuru. Huyo alikuwa Msamaria.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akajitupa miguuni mwa Isa akamshukuru. Yeye alikuwa Msamaria.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Akaanguka kifudifudi miguuni pa Yesu, akamshukuru. (Alikuwa Msamaria.)
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Akajitupa chini mbele ya miguu ya Yesu huku akimshukuru. Huyo alikuwa Msamaria.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Akajitupa chini mbele ya miguu ya Yesu huku akimshukuru. Huyo alikuwa Msamaria.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akajitupa miguuni mwa Yesu akamshukuru. Yeye alikuwa Msamaria.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akajitupa miguuni mwa Isa akamshukuru. Yeye alikuwa Msamaria.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Akajitupa chini mbele ya miguu ya Yesu huku akimshukuru. Huyo alikuwa Msamaria.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akamwangukia kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akainama uso mpaka chini mbele ya Yesu na kumushukuru. Mutu huyo alikuwa Musamaria.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
akaanguka kufudifudi miguuni pake, akimshukuru; nae ni Msamaria.