Luke 17:19 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Halafu akamwambia huyo mtu, “Simama, uende zako; imani yako imekuponya.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akamwambia, “Inuka na uende zako, imani yako imekuponya.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akamwambia, Inuka, enenda zako, imani yako imekuokoa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ndipo Yesu akamwambia, “Inuka! Unaweza kwenda. Umeponywa kwa sababu uliamini.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Halafu akamwambia huyo mtu, “Simama, uende zako; imani yako imekuponya.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Halafu akamwambia huyo mtu, “Simama, uende zako; imani yako imekuponya.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akamwambia, “Inuka na uende zako, imani yako imekuponya.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akamwambia, “Inuka na uende zako, imani yako imekuponya.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akamwambia, Inuka, nenda zako, imani yako imekuokoa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Halafu akamwambia huyo mtu, “Simama, uende zako; imani yako imekuponya.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akamwambia: Inuka, uende zako! Kunitegemea kwako kumekuponya.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akamwambia, Inuka, enenda zako, imani yako imekuokoa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha Yesu akamwambia mutu yule: “Simama, ujiendee. Imani yako imekuponyesha.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akamwambia, Simama; enenda zako; imani yako imekuokoa.