Luke 17:21 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wala hakuna atakayeweza kusema, ‘Uko hapa’, au ‘Uko pale’. Kwa kweli ufalme wa Mungu uko kati yenu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
wala watu hawatasema, ‘Huu hapa,’ au ‘Ule kule,’ kwa maana ufalme wa Mungu umo ndani yenu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
wala hawatasema, Tazama, upo huku, au, kule, kwa maana, tazama, ufalme wa Mungu umo ndani yenu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Watu hawatasema, ‘Tazama ufalme wa Mungu uko hapa’ au ‘Ule pale!’ Hapana, Ufalme wa Mungu upo hapa pamoja nanyi.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wala hakuna atakayeweza kusema, Uko hapa, au Uko pale. Kwa kweli Ufalme wa Mungu uko kati yenu.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wala hakuna atakayeweza kusema, ‘Uko hapa’, au ‘Uko pale’. Kwa kweli ufalme wa Mungu uko kati yenu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
wala watu hawatasema, ‘Huu hapa,’ au ‘Ule kule,’ kwa maana Ufalme wa Mungu umo ndani yenu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
wala watu hawatasema, ‘Huu hapa,’ au ‘Ule kule,’ kwa maana Ufalme wa Mwenyezi Mungu umo ndani yenu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
wala hawatasema, Tazama, upo huku, au, kule, kwa maana, tazama, ufalme wa Mungu umo ndani yenu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wala hakuna atakayeweza kusema, ‘Uko hapa’, au ‘Uko pale’. Kwa kweli ufalme wa Mungu uko kati yenu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wala hawatasema: Tazama, up hapa! au: Uko huko! Kwani ufalme wa Mungu umo ndani yenu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wala hawatasema, Tazama, upo huku, au, kule, kwa maana, tazama, ufalme wa Mungu umo ndani yenu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hawatasema: ‘Anatawala hapa’ au ‘Anatawala huku.’ Hakika Mungu anatawala kati yenu.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wala hawatasema, Tazama, huko au huko! maana fahamuni! ufalme wa Mungu umo ndani yenu.