Luke 17:3 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jihadharini! Kama ndugu yako akikukosea, muonye; akitubu, msamehe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo, jilindeni. “Ndugu yako akikukosea, mwonye; naye akitubu, msamehe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Jilindeni; kama ndugu yako akikosa, mwonye; akitubu msamehe.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo iweni waangalifu! Ikiwa ndugu au dada yako katika familia ya Mungu akikukosea, umwonye. Akitubu, msamehe.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Jihadharini! Kama ndugu yako akikukosea, mwonye; akitubu, msamehe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jihadharini! Kama ndugu yako akikukosea, muonye; akitubu, msamehe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo, jilindeni. “Kama ndugu yako akikukosea mwonye, naye akitubu, msamehe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo, jilindeni. “Kama ndugu yako akikukosea mwonye, naye akitubu, msamehe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Jilindeni; kama ndugu yako akikosa, mwonye; akitubu msamehe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jihadharini! Kama ndugu yako akikukosea, muonye; akitubu, msamehe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Jiangalieni! Ndugu yako akikukosea, umtishe! Naye akijuta, umwondolee!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Jilindeni; kama ndugu yako akikosa, mwonye; akitubu msamehe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa sababu hii mujiangalie vizuri. “Kama ndugu yako akikosa, umwonye, na akigeuka toka katika zambi zake, umusamehe.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Jihadharini: ndugu yako akikosa, mwonye; akitubu, msamehe,