Luke 17:4 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akikukosea mara saba kwa siku moja, na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu,’ msamehe.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na kama akikukosa mara saba katika siku moja, na kurudi kwako mara saba, akisema, Nimetubu, msamehe.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hata kama akikukosea mara saba katika siku moja, lakini akakuomba msamaha kila anapokukosea, msamehe.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema Nimetubu, lazima umsamehe.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu’, msamehe.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu,’ msamehe.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na kama akikukosea mara saba katika siku moja, na kurudi kwako mara saba, akisema, Nimetubu, msamehe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ijapo, akukosee mara saba siku moja na kukurudia mara saba na kusema: Nimejuta, sharti umwondolee!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na kama akikukosa mara saba katika siku moja, na kurudi kwako mara saba, akisema, Nimetubu, msamehe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama akikukosea mara saba kwa siku, na akirudia kwako kila mara kwa kukuomba huruma, umusamehe.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
na akikosa marra saba katika siku moja, akakurudia marra saba, akisema, Natubu, msamehe.