Luke 18:12 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nafunga mara mbili kwa juma, natoa zaka sehemu ya kumi ya pato langu.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mimi nafunga mara mbili kwa juma, na natoa sehemu ya kumi ya mapato yangu.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mimi nafunga mara mbili kwa juma; hutoa zaka katika mapato yangu yote.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ninafunga mara mbili kwa wiki na kutoa sehemu ya kumi ya vyote ninavyopata!’
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Nafunga mara mbili kwa juma, natoa zaka sehemu ya kumi ya pato langu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nafunga mara mbili kwa juma, natoa zaka sehemu ya kumi ya pato langu.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mimi nafunga mara mbili kwa juma, natoa sehemu ya kumi ya mapato yangu.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mimi nafunga mara mbili kwa juma, na natoa sehemu ya kumi ya mapato yangu.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mimi nafunga mara mbili kwa juma; hutoa zaka katika mapato yangu yote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nafunga mara mbili kwa juma, natoa zaka sehemu ya kumi ya pato langu.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kila juma nafunga siku mbili, tena ninatoa fungu la kumi la vyote, ninavyovipata.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mimi nafunga mara mbili kwa juma; hutoa zaka katika mapato yangu yote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninafunga kula chakula mara mbili kila juma na ninatoa fungu moja la kumi la vitu vyote ninavyopata.’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nafunga marra mbili kwa juma; nalipa zaka za mapato yangu yote.