Luke 18:24 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu alipoona akihuzunika hivyo, akasema, “Jinsi gani ilivyo vigumu kwa matajiri kuingia katika ufalme wa Mungu!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akamtazama, akasema, “Tazama jinsi ilivyo vigumu kwa tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu!
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu alipoona vile alisema, Kwa shida gani wenye mali watauingia ufalme wa Mungu!
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu alipoona kuwa amehuzunika, akasema, “Itakuwa vigumu sana kwa matajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu alipoona akihuzunika hivyo, akasema, “Jinsi gani ilivyo vigumu kwa matajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu alipoona akihuzunika hivyo, akasema, “Jinsi gani ilivyo vigumu kwa matajiri kuingia katika ufalme wa Mungu!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akamtazama akasema, “Tazama ni jinsi gani ilivyo vigumu kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu!
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akamtazama, akasema, “Tazama jinsi ilivyo vigumu kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa Mwenyezi Mungu!
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu alipoona vile alisema, Kwa shida gani wenye mali watauingia ufalme wa Mungu!
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu alipoona akihuzunika hivyo, akasema, “Jinsi gani ilivyo vigumu kwa matajiri kuingia katika ufalme wa Mungu!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu alipomwona hivyo, akasema: Vitazameni vigumu vinavyowazuia waegemeao mali kuingia katika ufalme wa Mungu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu alipoona vile alisema, Kwa shida gani wenye mali watauingia ufalme wa Mungu!
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu alipoona kwamba amehuzunika sana, akasema: “Kweli ni vigumu sana kwa watajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi Yesu alipoona ya kuwa amefanya huzuni nyingi, akasema, Kwa shidda gani wenye mali watauingia ufalme wa Mungu.