Luke 18:27 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akajibu, “Yasiyowezekana kwa binadamu, yanawezekana kwa Mungu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akajibu, “Yasiyowezekana kwa wanadamu yanawezekana kwa Mungu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akasema, Yasiyowezekana kwa wanadamu yawezekana kwa Mungu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akajibu, “Lisilowezekana kwa wanadamu, linawezekana kwa Mungu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akajibu, “Yasiyowezekana kwa binadamu, yanawezekana kwa Mungu.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akajibu, “Yasiyowezekana kwa binadamu, yanawezekana kwa Mungu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akajibu, “Yasiyowezekana kwa wanadamu kwa Mungu yawezekana.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akajibu, “Yasiyowezekana kwa wanadamu yanawezekana kwa Mungu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akasema, Yasiyowezekana kwa wanadamu yawezekana kwa Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akajibu, “Yasiyowezekana kwa binadamu, yanawezekana kwa Mungu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akasema: Mambo yasiyowezekana kwa watu huwezekana kwa Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akasema, Yasiyowezekana kwa wanadamu yawezekana kwa Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akajibu: “Mambo yasiyoweza kutendeka kwa uwezo wa mwanadamu yanawezekana kwa Mungu.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akasema, Yasiyowezekana kwa wana Adamu, yawezekana kwa Mungu.