Luke 18:35 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakati Yesu alipokaribia Yeriko, kulikuwa na mtu mmoja kipofu ameketi njiani akiomba.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa alipokuwa anakaribia Yeriko, kipofu mmoja alikuwa ameketi kando ya njia akiomba msaada.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikawa alipokaribia Yeriko, mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi kando ya njia, akiomba sadaka;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu alipofika karibu na mji wa Yeriko, mwanaume mmoja asiyeona alikuwa amekaa kando ya barabara, akiomba pesa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wakati Yesu alipokaribia Yeriko, kulikuwa na mtu mmoja kipofu ameketi njiani akiomba.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakati Yesu alipokaribia Yeriko, kulikuwa na mtu mmoja kipofu ameketi njiani akiomba.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu alipokuwa anakaribia Yeriko, kipofu mmoja alikuwa ameketi kando ya njia akiomba msaada.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa alipokuwa anakaribia Yeriko, kipofu mmoja alikuwa ameketi kando ya njia akiomba msaada.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikawa alipokaribia Yeriko, mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi kando ya njia, akiomba sadaka;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakati Yesu alipokaribia Yeriko, kulikuwa na mtu mmoja kipofu ameketi njiani akiomba.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ikawa, alipokaribia Yeriko, palikuwa na kipofu aliyekaa njiani kando akiomba sadaka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikawa alipokaribia Yeriko, mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi kando ya njia, akiomba sadaka;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu alipokaribia muji Yeriko, mutu mumoja kipofu alikuwa akiikaa pembeni ya njia akiombaomba.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ikawa alipokaribia Yeriko, pafikuwa na kipofu, amekaa kando ya njia akiomba.