Luke 18:6 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Bwana akaendelea kusema, “Sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Bwana Isa akasema, “Sikilizeni asemavyo huyu hakimu dhalimu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bwana akasema, Sikilizeni asemavyo yule kadhi dhalimu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Bwana akasema, “Sikilizeni, maneno aliyosema mwamuzi mbaya yana mafundisho kwa ajili yenu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Bwana akaendelea kusema, “Sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Bwana akaendelea kusema, “Sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Bwana akasema, “Sikilizeni asemavyo huyu hakimu dhalimu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Bwana Isa akasema, “Sikilizeni asemavyo huyu hakimu dhalimu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bwana akasema, Sikilizeni asemavyo yule hakimu dhalimu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Bwana akaendelea kusema, “Sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Bwana akasema: Sikilizeni, mwamuzi mwenye upotovu anavyosema!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bwana akasema, Sikilizeni asemavyo yule kadhi dhalimu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu Bwana akasema: “Musikilize jinsi mwamuzi huyu mubaya anavyosema!
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bwana akasema, Sikieni asemavyo yule kadhi asiye haki.