Luke 19:10 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mwana wa Adamu alikuja kuwatafuta na kuwaokoa watu waliopotea.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani Mwana wa mtu amejia kutafuta na kuokoa kilichopotea.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana Mwana wa Mutu alikuja kutafuta na kuokoa yule aliyepotea.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja illi kutafuta kilichopotea na kukiokoa.