Luke 19:23 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa nini, basi, hukuiweka fedha yangu benki, nami ningeichukua pamoja na faida baada ya kurudi kwangu?’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa nini basi hukuweka fedha zangu kwa watoa riba, ili nitakaporudi nichukue iliyo yangu na riba yake?’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
basi, mbona hukuiweka fedha yangu kwa watoao riba, ili nijapo niipate pamoja na faida yake?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ikiwa hiyo ni kweli, ulipaswa kuweka pesa zangu kwa watoao riba. Ili nitakaporudi pesa hiyo iwe imezalisha faida.’
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa nini basi, hukuiweka fedha yangu benki, nami ningeichukua pamoja na faida baada ya kurudi kwangu?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa nini, basi, hukuiweka fedha yangu benki, nami ningeichukua pamoja na faida baada ya kurudi kwangu?’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa nini basi hukuweka fedha zangu kwa watoa riba ili nitakaporudi, nichukue iliyo yangu na riba yake?’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa nini basi hukuweka fedha zangu kwa watoa riba, ili nitakaporudi nichukue iliyo yangu na riba yake?’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
basi, mbona hukuiweka fedha yangu kwa watoao riba, ili nijapo niipate pamoja na faida yake?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa nini, basi, hukuiweka fedha yangu benki, nami ningeichukua pamoja na faida baada ya kurudi kwangu?’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Basi, kwa nini hukumpa mwenye duka fedha zangu? Nami nilipokuja ningalizichukua pamoja na faida?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
basi, mbona hukuiweka fedha yangu kwa watoao riba, ili nijapo niipate pamoja na faida yake?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa nini basi haukuweka feza yangu katika banki, kusudi siku ya kurudia kwangu ningepata mali yangu pamoja na faida yake?’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
mbona, bassi, hukuweka fedha yangu kwao watoao riba, nami nikija ningaliipata pamoja na faida?