Luke 19:32 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, wakaenda, wakakuta sawa kama alivyowaambia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wale waliotumwa wakaenda, wakapata kila kitu kama Isa alivyowaambia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wale waliotumwa wakaenda wakaona kama alivyowaambia.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wafuasi wawili wakaenda kwenye mji ule. Wakamwona punda kama Yesu alivyowaambia.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, wakaenda, wakakuta sawa kama alivyowaambia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, wakaenda, wakakuta sawa kama alivyowaambia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wale waliotumwa wakaenda, wakakuta kila kitu kama vile Yesu alivyokuwa amewaambia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wale waliotumwa wakaenda, wakakuta kila kitu kama vile Isa alivyokuwa amewaambia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wale waliotumwa wakaenda wakaona kama alivyowaambia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, wakaenda, wakakuta sawa kama alivyowaambia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wao waliotumwa walipoondoka kwenda wakaviona, kama alivyowaambia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wale waliotumwa wakaenda wakaona kama alivyowaambia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi wale waliotumwa wakaenda, wakakuta vyote kama vile Yesu alivyowaambia.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi, wale waliotumwa wakaenda, wakaona vile vile kama alivyowaambia.