Luke 19:34 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nao wakawajibu, “Bwana anamhitaji.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wale wanafunzi wakajibu, “Bwana anamhitaji.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakasema, Bwana ana haja naye.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wafuasi wakajibu, “Bwana anamhitaji.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Nao wakawajibu, “Bwana anamhitaji.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nao wakawajibu, “Bwana anamhitaji.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wale wanafunzi wakajibu, “Bwana anamhitaji.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wale wanafunzi wakajibu, “Bwana anamhitaji.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakasema, Bwana anamhitaji.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nao wakawajibu, “Bwana anamhitaji.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wakasema: Bwana anamtakia kazi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakasema, Bwana ana haja naye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakajibu: “Bwana yuko na lazima ya kumutumia.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakasema, Bwana ana haja nae.