Luke 19:38 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Amebarikiwa mfalme ajaye kwa Jina la Mwenyezi Mungu!” “Amani mbinguni na utukufu huko juu sana.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
wakasema, Ndiye mbarikiwa Mfalme ajaye kwa jina la Bwana; amani mbinguni, na utukufu huko juu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Walisema, “Karibu! Mungu ambariki mfalme ajaye kwa jina la Bwana! Amani iwe mbinguni, na utukufu kwa Mungu!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Amebarikiwa Mfalme ajaye kwa jina la Bwana!” “Amani mbinguni na Utukufu huko juu sana.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Amebarikiwa Mfalme ajaye kwa Jina la Bwana Mwenyezi Mungu!” “Amani mbinguni na utukufu huko juu sana.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
wakasema, Ndiye mbarikiwa Mfalme ajaye kwa jina la Bwana; amani mbinguni, na utukufu huko juu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakasema: Na atukuzwe ajaye kuwa mfalme kwa Jina la Bwana! Mbinguni uko utengemano, nao utukufu uko juu mbinguni!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wakasema, Ndiye mbarikiwa Mfalme ajaye kwa jina la Bwana; amani mbinguni, na utukufu huko juu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakasema: “Abarikiwe mufalme anayekuja kwa jina la Bwana! Amani mbinguni na utukufu kwa Mungu anayekuwa juu!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
wakinena Amebarikiwa mfalme ajae kwa jina la Bwana, amani mbinguni, na utukufu palipo juu.