Luke 19:43 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hakika siku zinakujia, ambazo adui zako watakuzingira, nao watakuzunguka pande zote na kukuzuilia ndani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa siku zitakuja, adui zako watakapokujengea boma, likuzunguke; watakuzingira na kukuhusuru pande zote;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wakati unakuja, ambao adui zako watajenga ukuta kukuzunguka na kukuzingira pande zote.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hakika siku zinakujia, ambazo adui zako watakuzingira, watakuzunguka pande zote na kukuzuilia ndani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hakika siku zinakujia, ambazo adui zako watakuzingira, nao watakuzunguka pande zote na kukuzuilia ndani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kuwa siku zitakuja, adui zako watakapokujengea boma, likuzunguke; watakuzingira na kukuhusuru pande zote;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani siku zitakujia, adui zako watakapokujengea boma, likuzinge, wapate kukuhangisha po pote.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa siku zitakuja, adui zako watakapokujengea boma, likuzunguke; watakuzingira na kukuhusuru pande zote;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana siku zitakufikia wakati waadui zako watakapokuzunguka kwa vita, watakapojenga ukuta wa kujikingia pembeni yako, na kukusonga pande zote.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana siku zitakujilia, adui zako watakapokujengea boma; watakuzunguka, watakudhiikisha pande zote;