Luke 19:48 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
lakini hawakuwa na la kufanya, maana watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini kabisa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini hawakupata nafasi kwa sababu watu wote walimfuata wakiyasikiliza maneno yake kwa usikivu mwingi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
wasione la kutenda, kwa kuwa watu wote walikuwa wakiandamana naye, wakimsikiliza.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini hawakujua namna ambavyo wangefanya, kwa sababu alikuwa anazungukwa na watu kila wakati waliokuwa wakimsikiliza. Kila mtu alifurahia yale ambayo Yesu alikuwa anasema, hawakuacha kumsikiliza.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
lakini hawakuwa na la kufanya, maana watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini kabisa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
lakini hawakuwa na la kufanya, maana watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini kabisa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini hawakupata nafasi kwa sababu watu wote walimfuata wakiyasikiliza maneno yake kwa usikivu mwingi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini hawakupata nafasi kwa sababu watu wote walimfuata wakiyasikiliza maneno yake kwa usikivu mwingi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
wasione la kutenda, kwa kuwa watu wote walikuwa wakiandamana naye, wakimsikiliza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
lakini hawakuwa na la kufanya, maana watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini kabisa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wasione njia ya kuyafanya; kwani watu wote pia walishikamana naye na kumsikiliza.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wasione la kutenda, kwa kuwa watu wote walikuwa wakiandamana naye, wakimsikiliza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini hawakupata namna ya kumwua, kwa sababu watu wote walimusikiliza kwa uangalifu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
nao bawakuona la kutenda; maana watu wote waliambatana nae, wakimsikiliza.