Luke 2:14 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani duniani kwa watu anaowafadhili!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Atukuzwe Mungu juu mbinguni, Na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
“Atukuzwe Mungu juu mbinguni, na amani iwepo duniani kwa watu wote wanaompendeza.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani duniani kwa watu aliopendezwa nao!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani duniani kwa watu anaowafadhili!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Atukuzwe Mungu juu mbinguni na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Atukuzwe Mungu juu mbinguni, na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Atukuzwe Mungu juu mbinguni, Na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani duniani kwa watu anaowafadhili!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Utukufu ni wa Mungu mbinguni juu, nchini uko utengemani kwa watu wampendezao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Atukuzwe Mungu juu mbinguni, Na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Sifa kwa Mungu juu mbinguni, na amani katika dunia kwa watu anaowapenda.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Utukufu una Mungu palipo juu, Na katika inchi amani, kwa watu aliowaridhia.