Luke 2:17 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hao wachungaji walipomwona mtoto huyo wakawajulisha wote habari waliyokuwa wamesikia juu yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Walipomwona yule mtoto, wakawaeleza yale waliyokuwa wameambiwa kuhusu huyo mtoto.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Walipomwona wakatoa habari waliyoambiwa juu ya huyo mtoto.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wachungaji walipomwona huyo mtoto, walisimulia kile walichoambiwa na malaika kuhusu mtoto.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hao wachungaji walipomwona mtoto huyo wakawajulisha wote habari waliyokuwa wamesikia juu yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hao wachungaji walipomwona mtoto huyo wakawajulisha wote habari waliyokuwa wamesikia juu yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Walipomwona yule mtoto, wakawaeleza yale waliyokuwa wameambiwa kuhusu huyu mtoto.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Walipomwona yule mtoto, wakawaeleza yale waliyokuwa wameambiwa kuhusu huyo mtoto.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Walipomwona wakatoa habari waliyoambiwa juu ya huyo mtoto.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hao wachungaji walipomwona mtoto huyo wakawajulisha wote habari waliyokuwa wamesikia juu yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walipokwisha kumwona wakalitambulisha lile neno, waliloambiwa na kitoto hiki.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Walipomwona wakatoa habari waliyoambiwa juu ya huyo mtoto.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao walipokwisha kumwona mutoto huyo muchanga, wakaeleza maneno waliyoambiwa na malaika juu yake.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Walipoona wakaeneza khabari za neno waliloambiwa, la huyu mtoto.