Luke 2:18 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nao wote waliosikia habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na wale wachungaji wa kondoo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wote waliosikia wakastaajabu kwa hayo waliyoambiwa na wachungaji.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kila aliyesikia maelezo ya wachungaji, alishangaa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nao wote waliosikia habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na wale wachungaji wa kondoo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nao wote waliosikia habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na wale wachungaji wa kondoo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wote waliosikia wakastaajabu kwa hayo waliyoambiwa na wachungaji.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, wote walioyasikia walipoyastaajabu, waliyoambiwa na wachungaji.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wote waliosikia wakastaajabu kwa hayo waliyoambiwa na wachungaji.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na wote waliosikia habari ile waliyoieleza wakashangaa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wote waliosikia wakataajabu kwa yale waliyoambiwa na wachungaji.