Luke 2:33 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baba yake Yesu na mama yake walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Naye Yusufu na mama yake mtoto wakastaajabu kwa yale yaliyokuwa yamesemwa kumhusu huyo mtoto.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na babaye na mamaye walikuwa wakiyastaajabia hayo yaliyonenwa juu yake.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mariamu na Yusufu walishangazwa sana na maneno aliyosema Simeoni kuhusu Yesu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Baba na mama yake Yesu walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baba yake Yesu na mama yake walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Naye Yosefu na mama yake mtoto wakastaajabu kwa yale yaliyokuwa yamesemwa kumhusu huyo mtoto.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Naye Yusufu na mama yake mtoto wakastaajabu kwa yale yaliyokuwa yamesemwa kumhusu huyo mtoto.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na babaye na mamaye walikuwa wakiyastaajabia hayo yaliyonenwa juu yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baba yake Yesu na mama yake walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Baba yake na mama yake walipokuwa wakiyastaajabu aliyosemewa,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na babaye na mamaye walikuwa wakiyastaajabia hayo yaliyonenwa juu yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wazazi wa Yesu wakashangaa kusikia maneno yale Simeoni aliyosema juu ya mutoto.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yusuf na mama yake wakawa wakistaajahu kwa yale yaliyonenwa juu yake;