Luke 2:52 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Naye Yesu akaendelea kukua katika hekima na kimo; akazidi kupendwa na Mungu na watu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Naye Isa akakua katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Naye Yesu akakua katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Naye Yesu akaendelea kukua katika hekima na kimo; akazidi kupendwa na Mungu na watu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Naye Yesu akaendelea kukua katika hekima na kimo; akazidi kupendwa na Mungu na watu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Naye Yesu akakua katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Naye Isa akakua katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Naye Yesu akaendelea kukua katika hekima na kimo; akazidi kupendwa na Mungu na watu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akakua na kuongezeka werevu wa kweli, mpaka akiwa mtu mzima, tena akawa akimpendeza Mungu na watu.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na Yesu alizidi kuwa na hekima, na kuongezeka kimo na kuendelea kumupendeza Mungu na watu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akazidi kuendelea katika hekima, na kimo, na neema kwa Mungu na kwa watu.