Luke 2:8 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Katika eneo lile walikuwako wachungaji waliokuwa wakikaa mashambani, wakilinda makundi yao ya kondoo usiku.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na katika nchi ile ile walikuwako wachungaji wakikaa makondeni na kulinda kundi lao kwa zamu usiku.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Usiku ule, baadhi ya wachungaji walikuwa mashambani nje ya mji wa Bethlehemu wakilinda kondoo zao.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Katika eneo lile walikuwako wachungaji waliokuwa wakikaa mashambani, wakilinda makundi yao ya kondoo usiku.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Katika eneo lile walikuwako wachungaji waliokuwa wakikaa mashambani, wakilinda makundi yao ya kondoo usiku.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na katika nchi ile ile walikuwako wachungaji wakikaa makondeni na kulinda kundi lao kwa zamu usiku.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kulikuwa na wachungaji katika nchi ileile, walilala malishoni na kulilinda kundi lao kwa zamu ya usiku.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na katika nchi ile ile walikuwako wachungaji wakikaa makondeni na kulinda kundi lao kwa zamu usiku.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na katika pande zile, kulikuwa wachungaji kule katika mbuga wakichunga kondoo zao usiku.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Katika inchi ile ile walikuwako wachungaji wakikaa makondeni usiku na kulinda kundi lao kwa zamu.