Luke 20:12 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Akamtuma tena wa tatu; huyu naye, baada ya kumwumiza, wakamfukuza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Bado akamtuma na mwingine wa tatu, huyu pia wakamjeruhi na kumtupa nje ya shamba.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akamtuma na wa tatu; huyu naye wakamtia jeraha, wakamtupa nje.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo mtu yule akamtuma mtumishi wa tatu. Wakulima wakampiga sana mtumishi huyu na wakamtupa nje ya shamba la mizabibu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Akamtuma tena wa tatu; huyu naye, baada ya kumwumiza, wakamfukuza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Akamtuma tena wa tatu; huyu naye, baada ya kumwumiza, wakamfukuza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Bado akamtuma na mwingine wa tatu, huyu pia wakamjeruhi na kumtupa nje ya shamba.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Bado akamtuma na mwingine wa tatu, huyu pia wakamjeruhi na kumtupa nje ya shamba.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akamtuma na wa tatu; huyu naye wakamtia jeraha, wakamtupa nje.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Akamtuma tena wa tatu; huyu naye, baada ya kumwumiza, wakamfukuza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akaongeza kumtuma wa tatu. Naye wale wakamtia vidonda na kumfukuza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akamtuma na wa tatu; huyu naye wakamtia jeraha, wakamtupa nje.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye shamba akatuma tena kwao mutumishi wa tatu, yule naye wakamwumiza na kumutupa inje ya shamba.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akaongeza akampeleka wa tatu, wakamtia jeraha, wakamfukuza.