Luke 20:22 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, tuambie kama ni halali au la, kulipa kodi kwa Kaisari!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Je, ni halali sisi kulipa kodi kwa Kaisari, au la?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Ni halali tumpe Kaisari kodi, au sivyo?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Tuambie, ni sahihi sisi kulipa kodi kwa Kaisari, au si sahihi?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, twambie kama ni halali, au la, kulipa kodi kwa Kaisari!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, tuambie kama ni halali au la, kulipa kodi kwa Kaisari!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Je, ni halali sisi kumlipa Kaisari kodi au la?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Je, ni halali sisi kulipa kodi kwa Kaisari, au la?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Ni halali tumpe Kaisari kodi, au sivyo?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, tuambie kama ni halali au la, kulipa kodi kwa Kaisari!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sisi tuko na ruhusa ya kumtolea Kaisari kodi, au haiko?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Ni halali tumpe Kaisari kodi, au sivyo?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Utuambie basi, Sheria inaturuhusu kulipa kodi kwa Mufalme wa Roma au hapana?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Je! ni halali kumpa Kaisari kodi au sivyo?