Luke 20:40 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya hayo hakuna mtu aliyethubutu kumuuliza maswali tena.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
wala hawakuthubutu kumwuliza neno baada ya hayo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hakuna hata mmoja aliyekuwa na ujasiri wa kumwuliza swali jingine.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya hayo hakuna mtu aliyethubutu kumwuliza maswali zaidi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya hayo hakuna mtu aliyethubutu kumuuliza maswali tena.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
wala hawakuthubutu kumwuliza neno baada ya hayo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani hawakujipa moyo tena kumwuliza neno.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wala hawakuthubutu kumwuliza neno baada ya hayo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na hakuna mutu aliyesubutu tena kumwuliza maneno mengine.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wala hakuthubutu mtu kumwuliza neno baada ya haya.