Luke 20:41 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akawauliza, “Yasemekanaje kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha Isa akawaambia, “Imekuwaje basi wao husema Al-Masihi ni Mwana wa Daudi?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawaambia, Wasemaje watu kwamba Kristo ni Mwana wa Daudi?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha Yesu akasema, “Kwa nini watu husema kwamba Masihi ni Mwana wa Daudi?
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akawauliza, “Yasemekanaje kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akawauliza, “Yasemekanaje kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha Yesu akawaambia, “Imekuwaje basi wao husema Kristo ni Mwana wa Daudi?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha Isa akawaambia, “Imekuwaje basi wao husema Al-Masihi ni Mwana wa Daudi?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawaambia, Wasemaje watu kwamba Kristo ni Mwana wa Daudi?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akawauliza, “Yasemekanaje kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha akawaambia: Husemaje, ya kuwa Kristo ni mwana wa Dawidi?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawaambia, Wasemaje watu kwamba Kristo ni Mwana wa Daudi?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akaongeza kuwaambia: “Namna gani wanaweza kusema kwamba Kristo ni Mwana wa Daudi?
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawaambia, Kwa maana gani hunena ya kwamba Kristo yu mwana wa Daud?