Luke 20:7 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, wakamwambia, “Hatujui mamlaka hayo yalitoka wapi.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi wakajibu, “Hatujui ulikotoka.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakajibu, kwamba, Hatujui ulikotoka.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo wakajibu, “Hatujui.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, wakamwambia, “Hatujui mamlaka hayo yalitoka wapi.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, wakamwambia, “Hatujui mamlaka hayo yalitoka wapi.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi wakajibu, “Hatujui ulikotoka.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi wakajibu, “Hatujui ulikotoka.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakajibu, kwamba, Hatujui ulikotoka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, wakamwambia, “Hatujui mamlaka hayo yalitoka wapi.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo wakajibu: Hatujui, ulikotoka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakajibu, kwamba, Hatujui ulikotoka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi wakajibu kwamba hawajui mamlaka yake yalitoka wapi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakajibu kwamba, Hatujui atokako.