Luke 21:10 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Halafu akaendelea kusema: “Taifa moja litapigana na taifa lingine, na ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha akawaambia: “Taifa litainuka dhidi ya taifa jingine, na ufalme mmoja dhidi ya ufalme mwingine.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kisha aliwaambia, Taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha Yesu akawaambia, “Mataifa yatapigana na mataifa mengine. Falme zitapigana na falme zingine.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Halafu akaendelea kusema: “Taifa moja litapigana na taifa lingine, na ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Halafu akaendelea kusema: “Taifa moja litapigana na taifa lingine, na ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha akawaambia: “Taifa litainuka dhidi ya taifa jingine na ufalme mmoja dhidi ya ufalme mwingine.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha akawaambia: “Taifa litainuka dhidi ya taifa jingine, na ufalme mmoja dhidi ya ufalme mwingine.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kisha aliwaambia, Taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Halafu akaendelea kusema: “Taifa moja litapigana na taifa lingine, na ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo alipowaambia: Watainukiana taifa na taifa, tena wafalme na wenzao wafalme.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kisha aliwaambia, Taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha Yesu akaongeza kusema: “Taifa litapigana na taifa, nao ufalme utapigana na ufalme.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kiisha akawaambia, Taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme: