Luke 22:17 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha akatwaa kikombe cha divai, akashukuru, akasema, “Pokeeni, mgawane.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya kukichukua kikombe, akashukuru, akasema, “Chukueni hiki mnywe wote.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akapokea kikombe, akashukuru, akasema, Twaeni hiki, mgawanye ninyi kwa ninyi;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha Yesu akachukua kikombe kilichokuwa na divai. Akamshukuru Mungu, na akasema, “Chukueni kikombe hiki na kila mmoja anywe.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kisha akatwaa kikombe, akashukuru akasema, “Pokeeni, mgawanye ninyi kwa ninyi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha akatwaa kikombe cha divai, akashukuru, akasema, “Pokeeni, mgawane.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akiisha kukichukua kikombe, akashukuru, akasema, “Chukueni hiki mnywe wote.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akiisha kukichukua kikombe, akashukuru, akasema, “Chukueni hiki mnywe wote.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akapokea kikombe, akashukuru, akasema, Twaeni hiki, mgawanye ninyi kwa ninyi;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha akatwaa kikombe cha divai, akashukuru, akasema, “Pokeeni, mgawane.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha akatwaa kinyweo, akashukuru akisema: Mkitwae hiki, mgawiane wenyewe!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akapokea kikombe, akashukuru, akasema, Twaeni hiki, mgawanye ninyi kwa ninyi;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha Yesu akatwaa kikombe, akakibariki na kusema: “Mutwae kikombe hiki na mukigawanye kati yenu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akakipokea kikombe, akashukuru, akasema: Twaeni hiki mkagawanye ninyi kwa ninyi;