Luke 22:24 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kulitokea ubishi kati ya hao mitume kuhusu nani miongoni mwao anayefikiriwa kuwa mkuu kuliko wengine.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Pia yakazuka mabishano katikati ya wanafunzi kwamba ni nani aliyeonekana kuwa mkuu kuliko wote miongoni mwao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yakatokea mashindano kati yao, kwamba ni nani anayehesabiwa kuwa mkubwa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baadaye, mitume wakaanza kubishana kuhusu nani miongoni mwao alikuwa mkuu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kulitokea ubishi kati ya hao mitume kuhusu nani miongoni mwao anayefikiriwa kuwa mkuu zaidi kuliko wengine.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kulitokea ubishi kati ya hao mitume kuhusu nani miongoni mwao anayefikiriwa kuwa mkuu kuliko wengine.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Pia yakazuka mabishano katikati ya wanafunzi kwamba ni nani anayeonekana kuwa mkuu wa wote miongoni mwao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Pia yakazuka mabishano katikati ya wanafunzi kwamba ni nani aliyeonekana kuwa mkuu kuliko wote miongoni mwao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yakatokea mashindano kati yao, kwamba ni nani anayehesabiwa kuwa mkubwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kulitokea ubishi kati ya hao mitume kuhusu nani miongoni mwao anayefikiriwa kuwa mkuu kuliko wengine.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kukawa mabishano kwao ya kwamba: Kati yetu ni nani aliye mkubwa?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yakatokea mashindano kati yao, kwamba ni nani anayehesabiwa kuwa mkubwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kulitokea ubishi kati ya wanafunzi wa kujua nani anayekuwa mukubwa kati yao.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kulikuwa na mashindano kwao, ni nani anaehesabiwa kuwa mkubwa.