Luke 22:3 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Shetani akamwingia Yuda aitwaye Iskarioti, mmoja wa wale mitume kumi na wawili.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Shetani akamwingia Yuda, aliyeitwa Iskariote, mmoja wa wale kumi na wawili.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Shetani akamwingia Yuda, aitwaye Iskariote, naye ni mmoja wa wale Thenashara.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mmoja wa mitume kumi na wawili wa Yesu aliitwa Yuda Iskariote. Shetani alimwingia Yuda,
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Shetani akamwingia Yuda aitwae Iskarioti, mmoja wa wale mitume kumi na wawili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Shetani akamwingia Yuda aitwaye Iskarioti, mmoja wa wale mitume kumi na wawili.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Shetani akamwingia Yuda, aliyeitwa Iskariote, mmoja wa wale Kumi na Wawili.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Shetani akamwingia Yuda, aliyeitwa Iskariote, mmoja wa wale Kumi na Wawili.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Shetani akamwingia Yuda, aitwaye Iskarioti, naye ni mmoja wa wale Kumi na Wawili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Shetani akamwingia Yuda aitwaye Iskarioti, mmoja wa wale mitume kumi na wawili.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Satani akamwingia Yuda anayeitwa Iskariota, naye alikuwa mwenzao wale kumi na wawili.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Shetani akamwingia Yuda, aitwaye Iskariote, naye ni mmoja wa wale Thenashara.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi Shetani akamwingia Yuda, yule anayeitwa Iskariota, aliyekuwa mumoja wa wanafunzi kumi na wawili.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Shetani akamwingia Yuda, aitwae Iskariote, nae alikuwa katika hesabu ya wale thenashara.