Luke 22:33 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Naye Petro akamjibu, “Bwana, mimi niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani, na hata kufa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Petro akajibu, “Bwana, niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani na hata katika kifo.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akamwambia, Bwana, niwapo pamoja nawe, mimi ni tayari kwenda gerezani au hata kifoni.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini Petro akamwambia Yesu, “Bwana, niko tayari kufungwa gerezani pamoja nawe. Hata kufa pamoja nawe!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Naye Petro akamjibu, “Bwana, mimi niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani, na hata kufa.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Naye Petro akamjibu, “Bwana, mimi niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani, na hata kufa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Petro akajibu, “Bwana, niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani na hata kifoni.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Petro akajibu, “Bwana Isa, niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani na hata kifoni.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akamwambia, Bwana, niwapo pamoja nawe, mimi ni tayari kwenda gerezani au hata kifoni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Naye Petro akamjibu, “Bwana, mimi niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani, na hata kufa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye akamwambia: Bwana, nikiwa pamoja nawe niko tayari kwenda, ijapo iwe kifungoni, hata kufani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akamwambia, Bwana, niwapo pamoja nawe, mimi ni tayari kwenda gerezani au hata kifoni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Petro akamwambia: “Bwana, mimi niko tayari kufungwa pamoja nawe na hata kufa pamoja nawe.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akamwambia, Bwana, pamoja nawe mimi ni tayari kwenda gerezani na kufa.