Luke 22:38 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nao wakasema, “Bwana, tazama; hapa kuna panga mbili.” Naye akasema, “Basi!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana, tazama hapa kuna panga mbili.” Akawajibu, “Inatosha.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakasema, Bwana, tazama, hapa pana panga mbili. Akawaambia, Basi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wafuasi wakasema, “Tazama Bwana, hapa kuna panga mbili.” Yesu akawaambia, “Nyamazeni, acheni mazungumzo ya namna hiyo!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Nao wakasema, “Bwana, tazama; hapa kuna panga mbili.” Naye akasema, “Basi!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nao wakasema, “Bwana, tazama; hapa kuna panga mbili.” Naye akasema, “Basi!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana, tazama hapa kuna panga mbili.” Akawajibu, “Inatosha.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana Isa, tazama hapa kuna panga mbili.” Akawajibu, “Inatosha.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakasema, Bwana, tazama, hapa pana panga mbili. Akawaambia, Basi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nao wakasema, “Bwana, tazama; hapa kuna panga mbili.” Naye akasema, “Basi!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wakasema: Bwana, tazama, hapa ziko panga mbili! Naye akawaambia: Basi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakasema, Bwana, tazama, hapa pana panga mbili. Akawaambia, Basi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wanafunzi wakasema: “Bwana, angalia, tuna panga mbili hapa.” Akajibu: “Basi, inatosha.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakasema, Bwana, tazama, panga mbili hizi. Akawaambia, Zatosha.