Luke 22:41 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha akawaacha, akaenda umbali wa mtu kuweza kutupa jiwe, akapiga magoti, akasali:
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akajitenga nao kama umbali wa kutupa jiwe, akapiga magoti, akaomba
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenyewe akajitenga nao kama kiasi cha kutupa jiwe, akapiga magoti akaomba,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha Yesu akaenda kama hatua hamsini mbali nao. Akapiga magoti na akaomba akisema,
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kisha akawaacha, akaenda umbali wa mtu kuweza kutupa jiwe, akapiga magoti, akasali:
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha akawaacha, akaenda umbali wa mtu kuweza kutupa jiwe, akapiga magoti, akasali:
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akajitenga nao, kama umbali wa kutupa jiwe, akapiga magoti, akaomba,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akajitenga nao kama umbali wa kutupa jiwe, akapiga magoti, akaomba
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenyewe akajitenga nao kama kiasi cha kutupa jiwe, akapiga magoti akaomba,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha akawaacha, akaenda umbali wa mtu kuweza kutupa jiwe, akapiga magoti, akasali:
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akaepukana nao na kuja mbali kidogo kama hapo, mtu anapotupa jiwe, akapiga magoti, akaomba akisema:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenyewe akajitenga nao kama kiasi cha kutupa jiwe, akapiga magoti akaomba,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha akajitenga nao na kuenda kwenye hatua ya mutu kuweza kutupa jiwe, akapiga magoti, akaomba akisema:
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akiisha akajitenga nao kadiri ya mtupo wa jiwe, akapiga magoti, akaomba, akisema,