Luke 22:48 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini Yesu akamwambia, “Yuda! Je, unamsaliti Mwana wa Mtu kwa kumbusu?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini Isa akamwambia, “Yuda, je, unamsaliti Mwana wa Adamu kwa busu?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akamwambia, Yuda, wamsaliti Mwana wa Adamu kwa kumbusu?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini Yesu akamwambia, “Yuda unatumia busu la urafiki kumsaliti Mwana wa Adamu kwa adui zake?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini Yesu akamwambia, “Yuda! Je, unamsaliti Mwana wa Mtu kwa kumbusu?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini Yesu akamwambia, “Yuda! Je, unamsaliti Mwana wa Mtu kwa kumbusu?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini Yesu akamwambia, “Yuda, je, unamsaliti Mwana wa Adamu kwa busu?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini Isa akamwambia, “Yuda, je, unamsaliti Mwana wa Adamu kwa busu?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akamwambia, Yuda, wamsaliti Mwana wa Adamu kwa kumbusu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini Yesu akamwambia, “Yuda! Je, unamsaliti Mwana wa Mtu kwa kumbusu?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akamwambia: Yuda, unamchongea Mwana wa mtu kwa kumnonea?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akamwambia, Yuda, wamsaliti Mwana wa Adamu kwa kumbusu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Yesu akamwuliza: “Yuda, unamutoa Mwana wa Mutu kwa kumubusu?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akamwambia, Yuda, wamsaliti Mwana wa Adamu kwa kumbusu?