Luke 22:51 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hapo, Yesu akasema, “Acha! Hii inatosha.” Akaligusa sikio la mtu huyo, akaliponya.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini Isa akasema, “Acheni!” Akaligusa lile sikio la yule mtu na kumponya.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akajibu akasema, Mwe radhi kwa hili. Akamgusa sikio, akamponya.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akasema, “Acha!” Kisha akaligusa sikio la mtumishi na akamponya.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hapo, Yesu akasema, “Acha! Hii inatosha.” Akaligusa sikio la mtu huyo akaliponya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hapo, Yesu akasema, “Acha! Hii inatosha.” Akaligusa sikio la mtu huyo, akaliponya.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini Yesu akasema, “Acheni!” Akaligusa lile sikio la yule mtu na kumponya.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini Isa akasema, “Acheni!” Akaligusa lile sikio la yule mtu na kumponya.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akajibu akasema, Muwe radhi kwa hili. Akamgusa sikio, akamponya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hapo, Yesu akasema, “Acha! Hii inatosha.” Akaligusa sikio la mtu huyo, akaliponya.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini Yesu akajibu akisema: Waacheni, wamalize! Akamgusa sikio, akamponya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akajibu akasema, Mwe radhi kwa hili. Akamgusa sikio, akamponya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Yesu akasema: “Mwache, inatosha!” Akagusa sikio la mutu yule, na kumuponyesha.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akajibu, akasema, Acheni kadiri hii. Akamgusa sikio, akamponya.