Luke 22:6 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yuda akakubali, na akawa anatafuta nafasi nzuri ya kumkabidhi kwao bila umati wa watu kujua.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Naye akakubali, akaanza kutafuta wakati uliofaa wa kumsaliti Isa kwao, ambapo hakuna umati wa watu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akakubali, akatafuta nafasi ya kumsaliti kwao pasipokuwapo mkutano.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Akakubali, kisha alianza kusubiri muda mzuri wa kumkabidhi Yesu kwao. Alitaka kumkabidhi Yesu kwao wakati hakuna kundi la watu ambao wangeona.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yuda akakubali, na akawa anatafuta nafasi nzuri ya kumkabidhi kwao bila umati wa watu kujua.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yuda akakubali, na akawa anatafuta nafasi nzuri ya kumkabidhi kwao bila umati wa watu kujua.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Naye akakubali, akaanza kutafuta wasaa mzuri wa kumsaliti Yesu kwao wakati ambapo hakuna umati wa watu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Naye akakubali, akaanza kutafuta wakati uliofaa wa kumsaliti Isa kwao, wakati ambapo hakuna umati wa watu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akakubali, akatafuta nafasi ya kumsaliti kwao pasipokuwapo mkutano.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yuda akakubali, na akawa anatafuta nafasi nzuri ya kumkabidhi kwao bila umati wa watu kujua.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, alipowaitikia waziwazi, akatafuta njia iliyofaa ya kumtoa, watu wasijue.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akakubali, akatafuta nafasi ya kumsaliti kwao pasipokuwapo mkutano.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yuda akakubali na kuanza kutafuta wakati unaokuwa muzuri kwa kumutoa Yesu kwao, kwa uficho pasipo watu kujua.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akaahidi, akatafuta nafasi kumsaliti kwao pasipo kuwapo makutano.