Luke 22:63 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wale watu waliokuwa wanamchunga Yesu, walimpiga na kumdhihaki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watu waliokuwa wanamlinda Isa wakaanza kumdhihaki na kumpiga.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wale watu waliokuwa wakimshika Yesu walimfanyia dhihaka, wakampiga.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Walinzi waliokuwa wanamlinda Yesu walimfanyia mizaha na kumpiga.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wale watu waliokuwa wanamchunga Yesu, walimpiga na kumdhihaki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wale watu waliokuwa wanamchunga Yesu, walimpiga na kumdhihaki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wale watu waliokuwa wanamlinda Yesu wakaanza kumdhihaki na kumpiga.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watu waliokuwa wanamlinda Isa wakaanza kumdhihaki na kumpiga.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wale watu waliokuwa wakimshika Yesu walimfanyia dhihaka, wakampiga.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wale watu waliokuwa wanamchunga Yesu, walimpiga na kumdhihaki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Wale waume waliomshika Yesu wakamfyoza na kumpiga,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wale watu waliokuwa wakimshika Yesu walimfanyia dhihaka, wakampiga.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wale watu waliokuwa wakimuchunga Yesu walimuchekelea na kumupiga.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na wale watu waliomshika Yesu, wakamdhihaki, wakampiga.