Luke 22:68 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
na hata kama nikiwaulizeni swali, hamtanijibu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nami nikiwauliza swali, hamtanijibu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena, nikiwauliza, hamtajibu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na ikiwa nitawauliza swali, hakika mtakataa kunijibu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
na hata kama nikiwaulizeni swali, hamtanijibu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
na hata kama nikiwaulizeni swali, hamtanijibu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nami nikiwauliza swali, hamtanijibu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nami nikiwauliza swali, hamtanijibu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena, nikiwauliza, hamtajibu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
na hata kama nikiwaulizeni swali, hamtanijibu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
lakini nikiwauliza, hamtanijibu, wala hamtanifungua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena, nikiwauliza, hamtajibu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
na kama ninawauliza ulizo, hamutanijibu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
nami nikiwaulizeni, hamtanijibu wala kuniachilia.