Luke 23:17 — Compare Translations

12 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kila sikukuu ya Pasaka, ilimlazimu Pilato kuwafungulia mfungwa mmoja.]
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa kuwa ilikuwa lazima kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa Sikukuu.]
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana ilimlazimu kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa sikukuu.]
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kila sikukuu ya Pasaka, ilimlazimu Pilato kuwafungulia mfungwa mmoja.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
(Kwa kuwa ilikuwa lazima kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa Sikukuu).
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa kuwa ilikuwa lazima kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa Sikukuu.]
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana ilimlazimu kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa sikukuu.]
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kila sikukuu ya Pasaka, ilimlazimu Pilato kuwafungulia mfungwa mmoja.]
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maana ilikuwa imempasa kuwafungulia mmoja kwa desturi ya sikukuu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana ilimlazimu kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa sikukuu.]
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kila sikukuu ya Pasaka, Pilato alipaswa kuwafungulia watu mufungwa mumoja.]
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana ilimlazimu kuwafungulia mmoja wakati wa siku kuu.