Luke 23:24 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Pilato akaamua kwamba matakwa yao yatimizwe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo Pilato akatoa hukumu kwamba madai yao yatimizwe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Pilato akahukumu kwamba haja yao ifanyike.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Pilato aliamua kuwapa kile walichotaka.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Pilato akaamua kwamba matakwa yao yatimizwe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Pilato akaamua kwamba matakwa yao yatimizwe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo Pilato akatoa hukumu kwamba madai yao yatimizwe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo Pilato akatoa hukumu kwamba madai yao yatimizwe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Pilato akahukumu kwamba haja yao ifanyike.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Pilato akaamua kwamba matakwa yao yatimizwe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Pilato akakata shauri na kuyaitikia, waliyoyataka:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Pilato akahukumu kwamba haja yao ifanyike.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu akakata shauri la kuwatendea sawa walivyotaka.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Pilato akakata maneno yafanyike waliyoyataka.