Luke 23:36 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Askari nao walimdhihaki pia; walimwendea wakampa siki
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Askari nao wakaja, wakamdhihaki. Wakamletea siki ili anywe,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wale askari nao wakamfanyia dhihaka, wakimwendea na kumletea siki,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hata askari walimcheka Yesu na kumfanyia mizaha. Walikuja na kumpa siki ya mvinyo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Askari nao walimdhihaki pia; walimwendea wakampa siki
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Askari nao walimdhihaki pia; walimwendea wakampa siki
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Askari nao wakaja, wakamdhihaki, wakamletea siki ili anywe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Askari nao wakaja, wakamdhihaki. Wakamletea siki ili anywe,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wale askari nao wakamfanyia dhihaka, wakimwendea na kumletea siki,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Askari nao walimdhihaki pia; walimwendea wakampa siki
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao askari wakamfyoza wakimkaribia na kumpelekea siki
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wale askari nao wakamfanyia dhihaka, wakimwendea na kumletea siki,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Waaskari vilevile walimuzarau, wakamupelekea divai yenye kuchacha
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Askari wakamdhihaki, wakimjia, wakimpa siki, na kusema,