Luke 23:43 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akamjibu, “Nakuambia kwa hakika, leo utakuwa pamoja nami peponi.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akamjibu, “Amin, nakuambia, leo utakuwa pamoja nami Paradiso. ”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akamwambia, “Ninakwambia kwa uhakika, leo utakuwa pamoja nami Paradiso.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akamwambia, “Nakwambia kwa hakika, leo utakuwa pamoja nami peponi.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akamjibu, “Nakuambia kwa hakika, leo utakuwa pamoja nami peponi.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akamjibu, “Amin, nakuambia, leo hii utakuwa pamoja nami Paradiso.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akamjibu, “Amin, nakuambia, leo hii utakuwa pamoja nami Paradiso.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akamjibu, “Nakuambia kwa hakika, leo utakuwa pamoja nami peponi.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akamwambia: Kweli nakuambia: Leo utakuwa pamoja nami katika Paradiso.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akamujibu: “Kweli ninakuambia wewe: leo hii utakuwa pamoja nami katika Paradizo.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo utakuwa pamoja nami Peponi.